SHEIKH WA MKOA WA DAR ATUMBULIWA




Na Mwandishi wetu HPMedia, Dar es Salaam

Baraza la ulamaa katika kikao chake kilichofanyika tarehe 1 na 2 mwezi huu jijini Dar es Salaam, chini ya Mwenyekiti wake Mufti na sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber limetengua uteuzi wa sheikh Alhad Mussa  salum kama sheikh wa mkoa wa Dar es salaam kuanzia tarehe 2,2023.

Aidha, wakati huo huo Sheikh Mkuu na mufti wa Tanzania Abubakar bin Zuber amemteua sheikh Walid Alhad Omar kuwa sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuanzia tarehe 2, mwaka 2023.


Comments

Popular posts from this blog

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

MWINJUMA AUTAKA UBUNGE KIVULE