MWILA AREJESHA FOMU YA UBUNGE, UKONGA


Mwenyekiti wa CCM kata ya Chanika William Abas Mwila amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Ukonga. 

Mwila amekabidhi barua fomu hiyo leo Julai 2 ,2025 kwa katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Chief Sylvester Yaredi baada ya kukamilisha taratibu

Aidha amebainisha kwamba amejitathimini na kuona kuwa anajitoshereza kutatua changamoto zinazowakabila wananchi wa Ukonga . 

Amesema kwamba yupo tayari kuwatumikia Wananchi,nakwamba Wanaukonga watakua wamepata Kiongozi atakaesikiliza kero za muda wowote.

Comments

Popular posts from this blog

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

WANANCHI WAHIMIZWA KUTEMBELEA MAONESHO YA MUHARRAM EXPO 2025