UVCCM INAJALI UONGOZI WA VIJANA



Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM TAIFA Ndg. Jessica Mshama amesema kuwa Madarasa ya uongozi yanayoendeshwa na Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) yamekuwa chachu ya kuoka Viongozi wapya ambao baadhi yao wamejitokeza kugombea nafasi mbalimbali za kiuongozi.

Ndg. Jessica Mshama aliyasema hayo wakati wa mahojiano na Watangazi wa Kipindi cha Sentro cha Clouds Tv kilichofanyika Jana 08 Julai, 2025 katika studio za Clouds Tv Jijini Dar es Salaam.

Vijana Tunasema

OKTOBA TUNATIKI ✅ 

#KaziNaUtuTunasongaMbele

#TunazimaZoteTunawashaKijani

#OktobaTunatiki✅✅✅

Comments

Popular posts from this blog

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

WANANCHI WAHIMIZWA KUTEMBELEA MAONESHO YA MUHARRAM EXPO 2025