WANANCHI WANAENDELEA KUTEMBELEA BANDA LA WMA NANENANE


Wananchi mbalimbali wameendelea kutembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika Maonesho ya NaneNane kitaifa mkoani Dodoma na kupatiwa elimu ya vipimo.

Pamoja na kupatiwa elimu ya vipimo, wananchi hao wanapata fursa ya kuuliza maswali ana kwa ana na kujibiwa na wataalamu pamoja na kuelekezwa kwa vitendo namna WMA inavyohakiki vipimo mbalimbali ili kumlinda mlaji.

Comments

Popular posts from this blog

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

WANANCHI WAHIMIZWA KUTEMBELEA MAONESHO YA MUHARRAM EXPO 2025