MSAMA ALITAKA JIMBO LA UKONGA


Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama leo Juni 29, 2025 amefika katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala na kuchukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga.

Amekabidhiwa Fomu hiyo na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ilala, Chief Sylvester Yaredi.

Comments

Popular posts from this blog

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

WANANCHI WAHIMIZWA KUTEMBELEA MAONESHO YA MUHARRAM EXPO 2025